Nchimbi ahimiza ushirikiano kukabili mazingira
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa Wizara zinahusiana na Sekta ya Mazingira, kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuwa na mpango…
TUME YASISITIZA LUHAGA SI MGOMBEA URAIS
Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi imeeleza kuwa Ndugu Luhaga Joelson Mpina na Ndugu Fatma Abdulhabib Ferej si wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya…
KLABU YA PAN AFRICAN YAMUOMBEA DUA RAIS SAMIA BAADA YA KUCHUKUA FOMU YA URAIS
Klabu ya Pan African ya jijini Dar es Salaam imefanya dua maalum kwa ajili ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, siku moja baada…
Dkt Samia: Zingatieni dira ya Taifa 2050
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa madhehebu ya dini nchini kuendelea kuliombea Taifa ili kudumisha amani na utulivu uliopo pamoja na…
DKT. MWAMBA AKUTANA NA BALOZI WA UBELIGIJI NCHINI TANZANIA
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ubeligiji nchini Tanzania, Mhe. Peter Huyghebaert, ambapo wamezungumza kuhusu kuendeleza ushirikiano wa kimaendeleo kati…
Kamishna Badru ameapishwa kiapo cha maadili
Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA), Bw. Abdul-Razaq Badru ameungana na viongozi wengine walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungaano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu…
MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA WAOMBWA KUTOA UJUZI KWA WATAALAM WA VITUO
Dar es Salaam(Juni 09, 2025,)Madaktari Bingwa wa Rais Samia pamoja na kutoa huduma za kibingwa kwa wananchi pia wametakiwa kuwajengea uwezo wataalam wanaowakuta kwenye vituo walivyopangiwa. Mkuu wa Wilaya ya…
Bunge lapitisha trilioni 20.19 Wizara ya Fedha
Dodoma -Juni 4 2025 (Mfanyakazi) Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya Wizara ya Fedha kwa Mwaka wa Fedha 2025-2026 ya kiasi cha Sh. trilioni 20.19 kwa…
SERIKALI YAJA NA MKAKATI WA KUTOA HUDUMA ZA AFYA BURE KWA WANANCHI WASIO NA UWEZO
Dodoma (Mfanyakazi). Serikali imeeleza kuwa inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kuhakikisha wananchi wasio na uwezo wanapata huduma za afya bila kikwazo cha fedha, kwa mfumo utakaofanana na utoaji wa elimu…
Sokoine achaguliwa Kamati kuu CCM
Mtoto wa aliyekuwa Waziri Mkuu,Mstaafu hayati,Edward Moringe Sokoine,ndugu Namelock Edward Sokoine amechaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa(NEC) kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa. Taarifa iliyotolewa…


